Bado zaidi ya mwezi dirisha dogo la usajili la mwezi January kwa barani Ulaya lifunguliwe, tayari majina ya baadhi wachezaji yameshaanza kutajwa kutaka kuhama klabu moja na kujiunga na nyingine.
Kwa upande wa beki wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea Liverpool Mamadou Sakho anaripotiwa kutaka kuondoka Liverpool mwezi January, anaweza akahama kabisa Ligi Kuu England.
No comments:
Post a Comment