Karibu kwenye Special Photo shoot kwa gharama ya Tsh. 25,000 tuu ndani ya studio za JanB Multimedia. Hii ni kwa wale wote wanawake warembo ambao wana ndoto za kulipwa pesa nzuri kutokea katika mabango na matangazo ya bidhaa mbalimbali, kuwa models na kufanya kazi na wanamitindo wakubwa, kulipwa na kutokea katika videos za wasanii mbalimbali, nisiku ya kesho nov 26 . Cocktail zitatolewa bure cc @janbkiwia @officialeliulomi #CALLNOW #DONTMIC


No comments:
Post a Comment