Wakati wa uchaguzi wa mwaka 2012, Barrack Obama alipata ushindi baada ya kuchaguliwa kwa kura zaidi ya Milioni 65 za raia wa nchi hiyo huku mpinzani wake Mitt Romney akipata zaidi ya Milioni 60 ambapo baada ya kura za Wajumbe kupigwa, Obama alipata ushindi wa Wajumbe 332, Romney 206.
Wakati kura zimeshaanza kupigwa nchini humo inaelezwa kuwa kuna majimbo ambayo ni ngome ya chama cha Republican sawa na Democratic lakini kuna majimbo mengine kama Florida, Pennsylvania na Ohio ambayo hayana mshindi wa jumla, hayo ndio majimbo ambayo yataamua mshindi.
https://1fmtz.blogspot.com/
No comments:
Post a Comment