Saturday, November 19, 2016

Top 10 ya ma-star wa soka wanaomiliki mijengo ghali zaidi duniani

HOME OF DAVID AND VICTORIA BECKHAM IN SAWFORDSBRIDGE, HERTS. PREPARATIONS AND MARQUEES FOR PARTY TO BE HELD TOMORROW BEFORE ENGLAND FOOTBALL TEAM LEAVE FOR THE WORLD CUP. 11-5-02 PIC BY IAN MCILGORM

Kwa hakika mchezo wa soka unawalipa sana wanachezaji na hiyo imewafanya wengine kumiliki mijengo ya maana pengine sawa na matajiri wengine wakubwa duniani.
Hapa tunaangalia mijengo 10 ya wachezaji ya gharama zaidi na hapo utagundua baadhi yao tayari wameshastaafu lakini wamejumuishwa kukupa wewe taswira halisi namna ambavyo mchezo huu ulivyowawezesha wachezaji hao kupata makazi bora ya kuishi.
10. Kaka- $3 Million
kaka-house
9. Andres Iniesta: $4.6 million
iniesta-house
8. Lionel Messi- $5 million
messi-houses
7. Mario Balotelli: $5 million.
baloteli-house
6. Cristiano Ronaldo: $6 million.
ronaldo-house
5. Frank Lampard: $7 million.
lampard-house
4. John Terry: $7.5 million.
terry-house
3. Wayne Rooney: $17.83 million.
rooney-house
2. David Beckham: $20 million.
beckham-house
1. Didier Drogba- $21million
drogba-house

No comments:

Post a Comment

Disqus Shortname

Comments system