Wawili hao ambao walitumia nguvu nyingi kufanya siri mahusiano yao, wameumbuka kupitia video hiyo iliyosambaa katika mitandao ya kijamii.
Akiongea na 1fm Jumatatu hii, Calisah amesema hajui ni nani ambaye amesambaza video hiyo mtandaoni kwani walikuwa nayo yeye pamoja na Wema.
Kutokana na sheria mpya ya matumizi ya mitandao Huenda wawili hao wakawa matata kutokana na kusambaa kwa video yao chafu wakifanya ngono hadharani ambopo ni kinyume cha sheria, Na ikawa funzo kubwa kwa watu wengine ambao nao huwa wanafanya matukio kama hayo.


No comments:
Post a Comment